Matthew 5:13

Chumvi Na Nuru

(Marko 9:50; Luka 14:34-35)

13 a “Ninyi ni chumvi ya ulimwengu. Lakini chumvi ikipoteza ladha yake, yawezaje kurudishiwa ladha yake tena? Haifai tena kwa kitu chochote, ila kutupwa nje ikanyagwe na watu.

Copyright information for SwhNEN